Saturday, September 15, 2012

WATOTO WENYE VIRUSI VYA UKIMWI TANZANIA KUVALISHWA UTEPE MWEKUNDU

Schoolchildren in Tanzania are being made to wear a red ribbon on their uniforms to show that they are HIV positive.

Mwalimu mkuu wa  shule ya msingi ya Kibaha mkoa wa pwani amesema kuwa amepokea maombi ya wazazi ambao watoto wao wameathirika na vvu kuwa watoto hao wavae utepe mwekundu ili wasifanye kazi ambazo zitachangia kudhoofisha afya zao.
Tanzania ina idadi takribani ya watu milioni 1.4 walioambukizwa vvu,idadi ambayo ni ndogo ukilinganisha na nchi nyingine za Afrika Mashariki,Na katika idadi hiyo wanawake ndio wanao ongoza kwa maambukizi yakitoka kwa mama kwenda kwa mtoto.
Lakini sheria ya Tanzania hairuhusu  mtu kumatangaza mtu yeyote kuwa ameathirika na adhabu yake ni miaka mitatu jela.

No comments:

Post a Comment