Thursday, September 27, 2012
MADONA ATANGAZA KUCHEZA MTUPU JUKWAANI IWAPO OBAMA ATASHINDA TENA NAFASI YA URAIS.
Kutoka katika chanzo cha habari cha Fox News kilisema Lady Madona mwenye umri wa miaka 54 aliwaambia washabiki wake wampigie kura Barack Obana.
Madona alisema "It's better if you vote for Obama. We have a black Muslim in the White House. It's amazing". "This is a hope in that country. Obama is fighting for the rights of homosexuals. Please support this person. "
"The Obama White House would enter again for some time, but my body would not be a single garment." hayo ndio maneno ya Madona kwa mashabiki zake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment