Chansela wa Ujerumani, Angela Merkel, amesema kuwa serikali yake itampiga marufuku mhubiri mmoja tatanishi kuingia nchini humo.
Kasisi Terry Jones, anayesifika kwa vitisho
vyake vya kuiteketeza Quran nchini Marekani, amealikwa kuhutubia
mikutano kadhaa za mashirika ya watu wenye siasa kali.Bi Merkel alisema kuwa ikiwa mpango wake utafanikiwa hatapewa visa kuingia nchini humo.
Bwana Jones amesema kuwa anaunga mkono filamu iliyozua kero miongoni mwa waisilamu kote duniani hasa Mashariki ya Kati.
No comments:
Post a Comment