Sunday, September 16, 2012

SERENGETI FIESTA -2012 ILIVYOBAMBA DODOMA

 
Msanii wa muziki wa kizazi kipya,Dayna akijitokeza kwa mbwembwe jukwaani usiku huu kwenye tamasha la Serengeti Fiesta 2012.
   

  Msanii wa muziki wa kizazi kipya,Rich Mavoco akiwaimbisha washabiki wake kibao waliojitokeza kwa wingi kwenye tamasha la Serengeti Fiesta 2012


 
Msanii wa muziki wa kizazi kipya,mahiri katika miondoko ya miduara,IT akimrusha kimduara duara shabiki wake jukwaani.


 
wasanii mahiri wa filamu hapa nchini nao walikuwepo kuliunga mkono tamasha la Fiesta  ndani ya Dodoma,kutoka kulia ni Jacob Steven a.k.a JB,Wema Sepetu pamoja Aunt Ezekiel.  


 
RAy akiyarudi mangoma ya sebene


 
Msanii wa muziki wa kizazi kipya,Linah kutoka THT akitumbuiza jukwaani u wakati wa tamasha la Serengeti Fiesta 2012 likiendele usiku.


Mfalme wa R&B (ben pol) nae alikuwepo


Shetta Ze don nae alikuwepo.


Anaitwa Recho kwa jina la kisanii kutoka nyumba ya Vipati THT,akiimba jukwaani kwa madaha kabisa


huo ndo umati wa watu uliojitokeza katika Tamasha la Serengeti Fiesta 2012 mjini Dodoma.   


No comments:

Post a Comment