Saturday, September 29, 2012

HIZI NDO SABABU ZINAZOMFANYA JAY-Z AMPE SUPPORT OBAMA KATIKA KAMPENI ZA KUWANIA URAIS.

 


The hip hop legendary Jay-Z, hivi karibuni ameziface camera na microphone za waandishi wa habari na kuelezea nini kinachompa nguvu ya kumsapoti president Barack Obama kwa kumpigia kampeni kubwa ili aendelee kuwa rais wa taifa hilo kubwa na lenye nguvu duniani.

Hivi karibuni Leotainment iliandika makala maalum inayoelezea historia yenye matukio yanayoonyesha chanzo cha urafiki wa Baraka Obama na Jay-Z, lakini hakuna hata msitari mmoja ambao ulionesha kuwa Jay-Z anazifahamu siasa za Marekani ama aliwahi kujihusisha nazo kabla ya mwaka 2008, japo watu wengi sana hasa wa Marekani walianza kumtabiria Jay-Z kuwa ipo siku anaweza kugombea nafasi katika serikali ya Marekani, background ya Jay-Z hayajawahi kuwa na hata chembe ya Siasa. Swali likawa inakuwaje katika kipindi cha kugombea urais wa Marekani kuanzia mwaka 2008 Jay-Z anaonekana yuko msitari wa mbele kumpigania Obama, kualikwa mara kwa mara white house,  lakini pia katika awamu hii ya pili anaonekana yuko serious zaidi?

Jigga alipoulizwa kama anampango wa kujihusisha na serikali ama siasa, alikiri kuwa hana nafasi yoyote na hana uwezo wa kuchambua political game.
 “silipendi hata hilo neno ‘Siasa’, alisema “It implies something underhanded and I think we need less government,”Jay-Z alifunguka alipokuwa katika club yake ya 40/40 kusherehekea ku-release rasmi video game inayoitwa “NBA 2K13’ ambayo yeye mwenyewe aliipa title hilo kama executive producer.
Jay-Z alijibu kiundani swali la wengi kuwa ni kwa nini Obama na sio wengine waliopita, na kwa nini ameamua kumpa support ambayo inaonekana ni ya hali na mali hadi kuanzisha fundraising program iliyompa Obama zaidi ya $4 million kwa ajili ya kampieni? Alisema “namsupport Obama kwa sababu inabidi niheshimu maono yaliyo ndani yake, inanibidi nimsapoti mtu ambae ni rais wa kwanza mweusi ambae hajawi kutokea,” akaongezea kwenye sababu hizi alisema “kwa kuwa na maono na ndoto kama hizi inanibidi nimsapoti.”
Katika kile ambacho wachambuzi wa mambo ya siasa na wengine wanavyotoa sababu za yeye kuwa karibu sana na Obama tofauti kabisa na hizi anazosema yeye, baba blue Ivy alikuwa na message kwa ajili yao “napenda kuwa mkweli kwenu kuwa watu wengi sana wanaanzisha ajenda zao kwa sababu zao tu, kwa hiyo wanajaribu kuzungumza vyovyote kwa kuwaza kuhusu maslahi yao ya baadae,” alisema Jay-Z. Akaongezea hapohapo “watu hao wanawaza kuhusu nafsi zao na sio kuhusu watu wote. Wanafanya lolote kuwaambia watu lakini kitu kidogo ndicho kinafanyika kwa sababu they are going back and forth with whatever they are doing,” na akamalizia kwa msisitizo kuwa “kwa hiyo mimi sipo katika siasa.”
Wiki iliyopita Barack Obama alihudhuria tukio la kuchangia kampeni zake iliyoandaliwa na familia ya swaiba wake Jay-Z, ambapo Jay-Z na mkewe Beyonce Knowles-Carter kwa pamoja walikusanya zaidi ya $4 million ambapo wageni mia moja walilipia tiketi za VIP ambapo kila tiketi iligharimu $40,000, tukio liliofanyika kwenye club yao ya 40/40, ambapo the R&B queen Beyonce alipanda jukwaani akiwa ndani ya gauni zuri jekundu na kumtambulisha Barack Obama kwa wageni waalikwa.

Friday, September 28, 2012

TAHADHARI! TAHADHARI! WANAUME WANAOISHI SINZA, SOMENI HII KIUSALAMA ZAIDI.

Kumekuwa na tabia ya Machangudoa wanaofanyia biashara zao maeneo ya Sinza Africa-sana Na Sinza kwa Remmy kuwapigia kelele za wizi wanaume ambao wakiitwa na machangudoa hao wanagoma na wale ambao husaminisha na kisha kuondoka bila kununua.




TAJIRI WA HONG KONG ATANGAZA KUTOA KITITA CHA ZAIDI YA BILIONI 70 ZA KITANZANIA KWA ATAKE MUOA MWANAE AMBAE NI MSAGAJI.

 

Tajiri Gig Chao ambae ni baba wa Cecil Chao ametangaza kampeni kampeni ya atakae muoa binti yake ambae ni msagaji. Siku chache zilizopita Cecil(33) alifunga ndoa ya jinsia moja na mwanamke mwenzie ambae walikua na mahusiano ya zaidi ya miaka saba.
Gig Chao alisema "Sitajari awe masikini au tajiri ili mradi awe mkarimuna mwenye moyo wa upendo"

HIZI NDO NYIMBO TANO AMBAZO RICK ROSS ATAZISHUSHA NDANI YA FIESTA DAR ES SALAAM.



Ukweli umejulikana jana kuwa Rick Rozay ndiye msanii atakayatua kwenye Fiesta ya Dar es Salaam itakayofanyika October 6, 2012. 

Hapa Clouds FM wamepiga bao. Bosi huyu wa Maybach Music Group anakubalika kinoma noma na wapenzi wa Hip Hop wa Bongo.

Ana bahati kuwa anapendwa na kila aina ya wapenzi wa hip hop kuanzia wasichana, wagumu, mabrazamen na hata watu wazima kiasi. Hii ni show itakayoacha gumzo hata kama akitumbuiza kwa kiwango cha kawaida tu. 

Angalizo: Watu wasitegemee dancers kama wa Diamond kukata kiuno wakati the boss himself atakapokuwa stejini!! ‘Hip hop sio mauno ni Dj’ alisema Ngweir kwenye 120, unakumbuka?

Rick Ross ana ngoma kibao ambazo tuna uhakika uwanja mzima wa Leaders, Kinondoni utakuwa ukimuitikia mwanzo mwisho! So tumeziangalia nyimbo tano ambazo tuna uhakika ndizo zitakazowasha moto pindi atakapozitumbuiza, nazo ni:

1. The Boss Ft. T.Pain
Ngoma hii ipo kwenye albam yake ya mwaka 2008, Trilla. Beat imenyongwa na producer mzaliwa wa Afrika Kusini, J.R Rotem. Chorus imefanywa na T-Pain.

2. Hustlin
Hii ndio ngoma iliyomtambulisha vizuri Rick Ross kimataifa. Ni ngoma iliyopo kwenye albam yake ya kwanza iliyotoka mwaka 2006, Port of Miami. Ina bonge la beat ambalo lilitengenezwa na The Runners.

 Hii ndio ngoma iliyotengeneza idendity yake kama rapper mnene, mwenye ndevu nyingi lakini mwenye uwezo wa aina yake katika kuchana. Mashabiki wake wa Dar wakiisikia ngoma hii atawakumbusha mbali sana hasa chorus yake yenye sauti zilizo shushwa pitch ‘Every day I’m hustlin every day I’m hustling…………”


3. Aston Martin Music

Kama ingetokea angekuja na Drake kwenye show yake ya Dar, pangekuwa hapatoshi kwenye eneo la tukio. 

Ngoma hii iliyotengenezwa na kundi la maproducer walio karibu sana na Rick Ross la J.U.S.T.I.CE League, ina bonge moja la beat na chorus tamu isiyo na mfano kutoka kwa Drizzy Drake na mrembo Chrissete Michelle. Tuna uhakika wabongo watakuwa wakiimba chorus hii bila shida.

4. Blow Money Fast (BMF)
“I think I’m Big Meech, Larry Hoover Whippin’ work, hallelujah One nation under God Real niggas getting money from the f***ing start” rudia tena!! There no way umati wa mashabiki utakaohudhuria kwenye Fiesta unyamaze na kuacha kufuatiliza chorus hii. Na beat lake je? Lex Luger hakufanya mchezo kabisa hapa. Kwa ngoma hii, ujio wa Rick Ross utakamilisha utamu wake na roho za watu zitakongwa vilivyo. 

5. Imma Boss
Well, hii si ngoma ya Rick Ross bali ni ya kijana wake wa MMG, Meek Mill. Ngoma hii ina beat moja matata mno na jinsi ilivyo maarufu Tanzania, Rick Ross hana ujanja wa kukwepa kuiperform!!! 


LEO 28/9/2012 WEMA SEPETU AMETIMIZA MIAKA 22, NA HUU NDO UJUMBE WA DIAMOND KWA WEMA

 


Thursday, September 27, 2012

MADONA ATANGAZA KUCHEZA MTUPU JUKWAANI IWAPO OBAMA ATASHINDA TENA NAFASI YA URAIS.

madonna,madonna songs,madonna of the rocks,madonna obama,madonna daughter,madonna obama tattoo,madonna obama tattoo real,madonna obama t-shirt,madonna obama yankee stadium,madonna obama video,madonna obama nyc,madonna open your heart,madonna obama tattoo real,madonna outfits,madonna like a virgin,madonna like a prayer album cover,



Kutoka katika chanzo cha habari cha Fox News kilisema Lady Madona mwenye umri wa miaka 54 aliwaambia washabiki wake wampigie kura Barack Obana.
Madona alisema "It's better if you vote for Obama. We have a black Muslim in the White House. It's amazing". "This is a hope in that country. Obama is fighting for the rights of homosexuals. Please support this person. "

 "The Obama White House would enter again for some time, but my body would not be a single garment." hayo ndio maneno ya Madona kwa mashabiki zake.

Wednesday, September 26, 2012

SINTAH AMCHANA EMMANUEL OKWI.

 

Soma Alichoandika Hapo chini:

"Stopppppp kuniandikia pumba huku kuhusu mtu mwenye govinda kaandia fb  hayanihusu

i dont deal with people who have un-sustainable career uwiiii the whole of me the lope lope of all trades haaaaa,

 usisihindane na mimi maana i have got three career hata kama sifanyi moja ninakula je yeye mwenzangu mguu ukivunjika kuna kitu tena???

MA  International relations and Diplomacy as well as queen wa entertainment industry sasa kazi kwako wewe kinuka mkojo

usitukane mamba na bado unapiga simu post itolewe hapa hakitoki kitu ulianza  na mimi namaliza" Sinta

URUGUAY YAHALALISHA UTOAJI WA MIMBA.




Bunge la Congress nchini Uruguay limepitisha sheria ya kuhalalisha utoaji mimba katika hali zinazokubalika.
Bunge hilo limepitisha sheria hiyo kufuatia majadiliano makali yaliyoishia kwa wabunge hao wa Congress kuipitisha kwa kura 50 dhidi ya 49.
Sasa hoja hiyo itawasilishwa katika bunge la juu la Senate ambalo linatazamiwa kuiidhinisha.
Sheria hiyo itawaruhusu wanawake kutoa mimba kabla haijafika wiki 12 ilimradi wamepata ushauri nasaha kutoka kwa madaktari wasiopungua 3 ili kufahamishwa hatari za kuavya mimba.
Mbali na Cuba, Uruguay itakuwa nchi ya kwanza katika ukanda wa Amerika kusini kuruhusu mwanamke yeyote anayetaka kutoa mimba fursa ya kufanya hivyo.

Tuesday, September 25, 2012

HAWA NDIO WANAMITINDO WA KIMATAIFA WATANZANIA WANAOFANYIA KAZI ZAO NJE YA AFRICA

Huyu ni Teddy Kalonga, ambaye anaishi Los Angeles  Marekani na anafanyia kazi za uwana mitindo huko Marekani.


 




Huyu ni Flaviana Matata aliyekuwa Miss Universe Tanzania, ambae pia ndoto zake zilikuwa awe inginia wa umeme, nae anaishi Marekani na anafanyia kazi zake za uwana mitindo Marekani Pamoja na Wingereza.






Huyu ni Millen/Happness Magesse aliewahi kuwa Miss tanzania, kwa sasa yupo nchini Marekani kaika jimbo la New York,  amefanya kazi za uwana mitindo katika nchi mbali mbali kama vile Hong Kong, Germany, Norway, China, New York, Paris, Spain, India.