Monday, June 25, 2012

JAMAA AFANYA MAPENZI NA MBWA KISA MKEWE KAMYIMA UNYUMBA

Nicholas Saunders


Nicholas Saunders alifumwa na mkewe akifanyamapenzi na mbwa wao.
polisi walisema kuwa mke wa Mr.Ncholas alishtushwa na alichokiona na alishindwa kuamini alichokiona baada ya kumuona mumewe akifanya mapenzi na mbwa.
"baada ya kuongea kwa muda mrefu na na kumkatalia kumpa penzi alishuka chini ya ngazi ila sikujua kilichoendelea hadi nilipo kwenda chini kumtafuta ndipo hapo nilipopatwa na mshtuko kwa kile nilichokiona"  alisema Mrs.Nicholas.
Nicholas amefunguliwa mashtaka na sasa kesi inaendelea na mkewe amesha omba talaka.

No comments:

Post a Comment