Waziri mkuu wa Zimbabwe, Morgan Tsvangirai, amefunga
ndoa siku ya Jumamosi licha ya hukumu ya mahakama kutoa hukumu ya
inayozuia ndoa hiyo kufanyika.
Siku ya Ijumaa mahakama ilifutilia mbali leseni
ya ndoa ya Bwana Tsvangirai ikisema kuwa tayari anatambulika kuwa ameoa
mwanamke mwingine katika sheria za kimila.Chanzo cha habari kinasema kuwa baadhi ya wafuasi wa Bwana Tsvangirai wanaamini kuwa hukumu hiyo ya mahakama imepikwa kisiasa ili kumchafulia jina Waziri mkuu huyo kuelekea uchaguzi wa mwaka
No comments:
Post a Comment