LADY MADONA CHUCHU NJE
MWANAMAMA HUYO MWENYE MIAKA 53 ALIFANYA KWA MAKUSUDI TUKIO HILO HUKO UTURUKI-INSTANBUL (THE SUN).
RIHANNA & CHRIS BROWN WANAMPANGO GANI?
WAWILI HO WALIOTENGANA 2009 BAADA CHRIS KUMPA KIPIGO KIZITO KILICHO SABABISHA WAPENZI HAO KUWA MBALI MBALI, HIVI SASA WANAJITAHIDI KILA MMOJA KUWA KARIBU NA MWENZIE BAADA YA KUONEKANA CLUB MARA KWA MARA JAPOKUWA KILA MMOJA ANAKUWA NA KAMPANY YAKE.
WAWILI HAO WALIONEKANA TENA HUKO LOS ANGELES KATIKA CLUB MOJAWAPO WAKIWA WAMEKAA MEZA MBALI MBALI INGAWA WALIKUWA WAKIANGALIANA SANA MARA KWA MAA HUKU RIHANNA AKIENDA MALIWATONI KILA WAKATI NA KUJIPITISHA PITISHA KATIKA MEAZA ALIYOKUWA AMEKAA CHRIS BROWN NA RAFIKI ZAKE. (THE SUN)DOGO JANJA OUT TIPTOP
Nyota
wa muziki wa kizazi kipya kutoka ‘kruu’ ya Tip Top Connection yenye
maskani yake pande za Manzese jijini Dar es Salaam Abdul Abubakar
Chende ‘Dogo Janja’ ametupiwa virago ndani ya kundi hilo.
(teentz.com)
Akizumngumza na Teentz .com mapema leo kiongozi wa kundi hilo
Hamad Ally ‘Madii’ amesema kuwa Dogo Janja ameshindwa kuendana na
makubaliano halisi yaliyokuwepo baina yake na uongozi wa kundi hilo
ikiwemo kuhudhuria shuleni kama alivyokuwa akitakiwa kufanya kila
siku badala yake amekuwa akiendekeza starehe na wakati mwingine
kufanya mambo ambayo kwa namna moja ama nyingine yalikuwa yanalichafua
kundi hilo.
“Tumemkabidhi kwa kaka yake mapema leo tukiwa maeneo ya Ubungo
tayari kwa safari ya kurudi kwao na wakati huo tulifanya mawasiliano
na baba yake kumuarifu kuwa Tip Top hatuko na mwanae kwa sasa”
alisema Madii
Katika hatua nyingine Madii amesema kuwa Dogo Janja alilewa sifa
na kujisahau kufanya yale anayotakiwa kufanya ndani nanje ya kundi
kufuatia mafanikio ya muziki aliyoyapata akiwa na Tip Top Connection
kwani hivi karibuni alitega shule na kwenda kujificha nyumbani kwa
TundaMan hukua akimuaga Madii kuwa anakwenda shule.
Kuona hivyo TundaMan aliamaua kumuarifu Madii na mara moja
kiongozi huyo wa kundi aliamua kwenda kumsaka, lakini baada ya dogo
Janja kugundua kuwa Madii anakuja aliamua kukimbia na kwenda kujificha
uchochoroni lakini akiwa huko mafichoni bahati mabaya alikanyaga kuku
na siri yake kujulikana kuwa amejificha hapao ndipo alipokamatwa na
kuamriwa kufungasha kilicho chake tayari kurejea ‘kileji’.
"vimekuwa ni vitendo vya kila mara kukacha kuhudhuria shule, tumechoka na hatukuwa na njia nyingine ya kufanya alisema Madii'
SABABU ZA 50-CENT KUMPA MBWA WAKE JINA LA "OPRAH"
50 cent alimwambia mwanamama Oprah kuwa sababu za yeye kumwita mbwa wake jina la "oprah" ni sababu anapenda sana viumbe kama mbwa ingawa mara ya kwanza alijua tu kuwa haitaleta picha nzuri.
MADONNA KATIKA MUONEKANO HALISI WA KIZEE
Huu ndo muonekano halisi wa kibibi/kizee wa lady madonna ambae kwa sasa yupo katika ziara yake ya .kupiga show katika nchi ya Italy-Rome.
DULLY AOMBA RADHI KWA KUMTUKANA GOSSIP COP(SUDY BROWN)
Juzi kwenye show ya XXL Clouds
fm msanii Dully Sykes alisababisha lawama nyingi zimpate kutoka kwa fans
wake na watu wengine baada ya kutoa tusi kwa Gossip Cop Soudy Brown
anaefanya YOU HEARD.
Ni kuhusu new single ya Mwana
Fa ft Ay na Dully Sykes – Ameen ambayo imetengenezwa na Dully ambapo
baada ya kuachiwa Soudy Brown aligundua kwamba ni kama inafanana na
single ya staa wa Jamaica.
Baada ya hapo Soudy ilibidi
ampigie Mwana Fa ambae alimjibu vizuri tu kwamba kweli ile single
imefanyiwa sample lakini akamuelekeza Soudy Brown aongee na Dully kwa
sababu yeye ndio producer na ndio mtu sahihi wa kuliongelea hilo.
Soudy alipompigia Dully
hakufanikiwa kupata lolote zuri bali aliambuliwa kujibiwa kwa mkato na
mwisho Dully Sykes akamwambia siongei na mashoga na hiyo ilikua ni baada
ya staa huyo mkazi wa Tabata Dar es salaam kumuuliza Soudy kama amekosa
kazi ya kufanya.
Usiku wake baada ya watu kuzidi
kutuma msg on air kwamba wamechukizwa na tusi alilotoa Dully, Dully
alinipigia simu akaomba tukutane Kinondoni baada ya mimi kumaliza
AMPLIFAYA saa 3 usiku, nimewahi kufanya interview na Dully Sykes mara
nyingi tu ila kiukweli sijawahi kumuona Dully akiwa amenyongo’nyea na
kuumia kiasi kile.
Nilipoanza kumrekodi alisema
“kweli nimekosea ni kwa sababu hakunikuta kwenye mood, naomba msamaha
wanisamehe mashabiki na kwenye Media pia, wanisamehe kwa kile ambacho
nimeongea ilikua ni hasira tu wasikilizaji wote ambao wamesikiliza na
mashabiki zangu wote wasinielewe vibaya, nilikua na hasira nilikua na
mambo yangu mwenyewe kichwani”
(na millad ayo)
No comments:
Post a Comment