Watoto wakazi wa kata ya Sinde Mtaa wa Kijani Bichi, Ilolo mkoani Mbeya
wakitumikishwa kubeba matofali kwa ujira wa shilingi 10 kwa tofali
pamoja na jitihada za kukomesha ajira za watoto lakini bado tabia hiyo
imekuwa ikiendela katika maeneo mengi nchini
No comments:
Post a Comment