Tuesday, July 24, 2012

WANAVIJIJI 37 WAKRISTO WAUWAWA NIGERIA

Mashambulio kadha yameshawahi kufanywa Nigeria

Msemaji wa jeshi la Nigeria, Mustapha Salisu, alisema askari wa usalama walipigana vikali kwa saa kadha, na wale aliosema walikuwa washambuliaji wajuzi.
Alisema zaidi ya washambuliaji 20 waliuwawa.
Msemaji wa kikundi cha Wakristo alisema vijiji 13 vilishambuliwa.



No comments:

Post a Comment