Monday, July 9, 2012

MTOTO MWENYE VICHWA VIWILI AZALIWA BRAZIL

Mother's pride: The mother insisted she was delighted with her newborn who weighed 9.9lbs  


Katika mji wa Anajas huko nchini Brazil katika hospitali ya Santa Casa, mtoto ambae ana vichwa viwili amezaliwa akiwa na afya njema, Daktari mkuu wa hospitali hiyo amesema kuwa mama wa mtoto huyo ambae ana umri wa miaka 25 alitakiwa kuzaa mapacha ila kwa bahati mbaya hakufanyiwa vipimo vya ultra sound mapema .
Ubongo wa vichwa vyote unafanya kazi vizuri ingawa anatumia moyo mmoja, mpafu,ini pamoja na uti wa mgongo.
Pia dokta alisema kuwa hawafikirii kufanya upasuaji kwa sasa kwakua ubongo wa vichwa vyote viwili unafanya kzai sawa..."changamoto tuliyonayo kwa sasa ni kuhakikisha tunatunza vyema afya ya mtoto huyu" alisema Daktari mkuu wa hospitali hiyo ya Santa Case.

No comments:

Post a Comment