Monday, July 9, 2012
WAKAMATWA WAKIMSAFIRISHA MTOTO MCHANGA KIMAGENDO AKIWA KATIKA BEGI
Mume na mke wenye asili ya Kiarabu walikamatwa katika uwanja wa ndege wa Sharjah mara tu walipotua katika ardhi ya United Arab Emirates.
Mtoto huyo aligundulika na miale ya X-ray, wazazi wa mtoto huyo walisema kuwa iliwabidi kufanya hivyo sababu mtoto huyo hakuwa na nyaraka zozote za kusafiria na walikuwa wanataka kuwa nae katika hiyo safari yao.
Wazazi wa mtoto huyo wamefunguliwa mashtaka ya kuhatarisha maisha ya mtoto wao baada ya kumsafirisha katika begi na kupigwa na miale mikali ya x-ray.
picha ya x-ray ikimuonesha mtoto ndani ya begi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment