Friday, November 30, 2012

WALIOIBA VITU VITU VYA MAREHEMU SHARO MILIONEA WAKAMATWA



  Watu wa nne wamekamatwa na jeshi la police wakiwa na Baadhi ya vitu alivyokuwa navyo marehemu Sharo Milionea kama vile Jeans,T-Shert,Viatu,Simu ya mkononi,Pete,Cheni,Tairi moja la gari,pamoja na Battery la gari alilopatanalo ajali marehemu Sharo Milionea....Inasemekana watu hao waliposhindwa kumvua Pete vidoleni walimkata vidole vyake....Watuhumiwa hao walikuwa sita wamekamatwa wanne bado wawili waliokimbia na pesa alizokuwa nazo Maremu Sharo Milionea....

No comments:

Post a Comment